Kuhusu Sisi

Karibu PASS Leasing

PASS Leasing Company Limited ni kampuni inayomilikiwa kikamilifu na PASS TRUST, ilisajiliwa chini ya Sheria ya Makampuni ya Tanzania na inasimamiwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT).

Dira

Kuwa taasisi bora ya ukodishaji inayoboresha maisha ya wajasiriamali wadogo na wa kati wa kilimo nchini Tanzania.

Misheni

Kuwezesha minyororo ya thamani ya kilimo kufikia uwezo wake wa juu kupitia upatikanaji na matumizi ya teknolojia endelevu.

Lengo

Kuwa kinara na mtoa huduma bora wa fedha za ukodishaji katika sekta ya kilimo.

Uzoefu Wetu

4

Miaka
Wataalamu wa Kilimo

300

Kitaifa
Miradi Iliyokamilika

800

Wateja Walioridhika

1300

Huduma

Mitambo ya Kilimo

Wasiliana Nasi

Mitambo ya Kilimo

Mitambo ya Viwandani

Mifumo ya Umwagiliaji

Usafirishaji

Ofisi Zetu

Timu

Timu ya PASS Leasing

Timu

PASS Leasing Company ina timu ya kimkakati inayojitolea kutoa huduma bora na za haraka kwa wateja wetu kote Tanzania. Kampuni yetu ina timu ndogo inayofanya kazi kwa bidii na yenye ari ya umoja ili kufikia malengo yetu.

© PASS Leasing. Haki Zote Zimehifadhiwa. Imedizainiwa na PASS ICT Team