PASS Leasing Company Limited ni kampuni inayomilikiwa kikamilifu na PASS TRUST, ilisajiliwa chini ya Sheria ya Makampuni ya Tanzania na inasimamiwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT).
Kuwa taasisi bora ya ukodishaji inayoboresha maisha ya wajasiriamali wadogo na wa kati wa kilimo nchini Tanzania.
Kuwezesha minyororo ya thamani ya kilimo kufikia uwezo wake wa juu kupitia upatikanaji na matumizi ya teknolojia endelevu.
Kuwa kinara na mtoa huduma bora wa fedha za ukodishaji katika sekta ya kilimo.
© PASS Leasing. Haki Zote Zimehifadhiwa. Imedizainiwa na PASS ICT Team